Quantcast
Channel: AutomobileHeat » facebook
Browsing all 312 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Karenzi Karake akamatwa Heathrow

Mkuu wa upelelezi nchini Rwanda,ambaye alikuwa anasakwa nchini Hispania kwa makosa ya uhalifu wa kivita,sasa amekamatwa mjini London. Kitengo cha habari cha BBC cha BBC Newsnight, kimegundua kwamba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Urais 2015: Profesa Muhongo Aumbuka CCM Makao Makuu

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na Waziri aliyejiuzulu kutokana na kashfa ya uchotwaji wa mabilioni ya fedha katika Akaunti ya Tegeta Escrow, Profesa Sospeter Muhongo, jana aliumbuka  baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Burundi kuendelea na ratiba ya uchaguzi

 Serikali ya Burundi imesema haitashiriki katika mazungumzo yaliyodhaminiwa na Umoja wa Mataifa yakilenga kupunguza hali ya uhasama uliopo kabla ya kufanyika kwa uchaguzi wenye utata. Waziri wa mambo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

David Kafulila Amwandikia Barua Spika kudai ripoti ya mabehewa Feki

MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), amemuandikia barua Spika wa Bunge, Anne Makinda, kudai aielekeze Serikali kuleta ripoti ya uchunguzi wa tuhuma za ununuzi  wa mabehewa kabla ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wananchi wala ubuyu kutokana na njaa-Manyoni

MBUNGE wa Manyoni Mashariki, Kapteni John Chiligati, amesema baadhi ya wananchi jimboni kwake wameanza kula ubuyu kutokana na kukabiliwa na tatizo la njaa. Katika swali lake bungeni jana, Mbunge huyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwakyembe, Jaji Ramadhani wagongana Tanga

 WAZIRI wa Afrika Mashariki, Dk. Harrison Mwakyembe na Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhani, jana walikuwa mkoani Tanga kwa ajili ya kusaka wadhamini ili waweze kukamilisha sharti la kuomba ridhaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema Sepetu Amtaja Mtu Anayemzuia Kupata Mimba

Ishu ya  Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu kutopata ujauzito imeshazungumzwa mara kadhaa na hata yeye mwenyewe alishawahi kujitokeza na kuizungumzia lakini safari hii amelizungumzia kwa njia tofauti....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sugu Atoa Chozi Bungeni kisa Mtoto Wake ……..Naibu Spika Aamuru Mjadala wa...

Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amejikuta akiangua kilio bungeni baada ya kutoa hoja binafsi kumjibu Mbunge wa viti maalum wa Singida ‘CCM’ Martha Mlata, aliyemshutumu kwa kumpora mtoto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwandosya Arejesha Fomu za Urais

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya amerejesha fomu zake za kuwania kupeperusha bendera ya CCM katika nafasi ya urais.   Akizungumza na waandishi wa habari baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mashine ya BVR Yaibiwa Jijini Mwanza, wawili watiwa mbaroni

Watu wasiojulikana usiku wa kuamkia jana, waliiba mashine moja inayotumika kwa ajili ya kuandikishia vitambulisho katika daftari la kudumu la wapiga kura (BVR) katika kata ya Kayenze wilayani Magu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

H Bridge motor control circuit using L298

Description : A bidirectional H bridge DC motor control circuit is shown here. The circuit is based on the IC L298 from ST Microelectronics. L298 is a dual full bridge driver that has a wide operating...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ACT-Wazalendo Kurudisha Mashamba ya Mkonge kwa Wananchi

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimesema kina shabaha ya kurejesha kwa wananchi mashamba ya mkonge yaliyouzwa kwa matajiri wachache ambao kwa sasa hawayatumii kwa kilimo cha zao hilo.   Pia chama hicho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NCCR- Mageuzi Wasema Hawana Mpango wa Kujitoa UKAWA

CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimesema hakitajitoa katika Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) pamoja na kuwapo kwa vikwazo vya ugawaji wa madaraka ndani ya umoja huo.   Akizungumza katika kikao cha Kamati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bunge linapochemka ndio raha yetu- Lissu

Dodoma . Bunge la 10, ambalo linamaliza kazi yake Julai 8 kabla ya kuvunjwa siku moja baadaye, lilikuwa na mengi, lakini mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu anasema kilichowafurahisha wapinzani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kumekucha CCM: Baraza la Ushauri la Wazee( Mkapa, Mwinyi na Wengine) Kukutana...

Hatimaye kile kikao cha Baraza la Ushauri la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinachowahusisha pia marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa, kinatarajiwa kufanyika wakati wowote wiki hii...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Trace TV kuionesha video ya Chekecha ya Alikiba mara ya kwanza leo

 Video ya wimbo wa Alikiba ‘Chekecha Cheketua’, itaoneshwa kwa mara ya kwanza kwenye kituo cha runinga cha Ufaransa, Trace TV Jumatatu hii. Video hiyo imeongezwa na muongozaji wa video za muziki wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Walimu wanyolewa sehemu za siri kishirikina

WALIMU katika shule ya msingi  Nambaza Kata ya Nansimo wilayani Bunda,    wamesema watahama shule hiyo endapo serikali ya wilaya hiyo haitachukua hatua madhubuti kukomesha ushirikina shuleni hapo....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majibu ya Zari kwa wanaomshutumu kutoheshimu Mwezi wa Ramadhan yanashtua

Zari the Bosslady amejikuta kwenye kitimoto kutokana na mashabiki kumshambulia mtandaoni kwa mavazi yake katika mwezi mtukufu wa Ramadhan. Mama huyo mtarajiwa wa mtoto wa Diamond amelazimika kutumia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dira ya Dunia Tv kuzindua sura mpya leo

Idhaa ya Kiswahili ya BBC Swahili itazindua sura mpya ya “Dira ya Dunia” leo! Kipindi hicho kinachopeperusha taarifa ya habari kwa zaidi ya watazamaji milioni 6.9 itakuwa na sura mpya inayojumuisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gatlin aweka mda bora mita 200

Mwanariadha wa mbio fupi Justin Gatlin ameweka mda bora zaidi katika mbio za mita 200 na kuwa wa tano duniani aliposhinda mbio hizo nchini Marekani. Raia huyo wa Marekani mwenye umri wa miaka 33...

View Article
Browsing all 312 articles
Browse latest View live