Quantcast
Channel: AutomobileHeat » facebook
Browsing all 312 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Haya ndio maneno ya H. Baba kuhusu video mpya ya Ali kiba ‘Chekecha’

Muimbaji Hamis Baba aka H Baba  leo ameamua kuandika kwenye ukurasa wake Instagram kuhusu video mpya ya Ali Kiba iitwayo Chekecha iliyochezwa kama ‘Exclusive’  June 29 kwenye kituo cha luninga maarufu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Urais 2015: Lowassa afunga mahesabu ya Wadhamini Morogoro

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amehitimisha safari ya kusaka wadhamini katika mikoa 15 ya Tanzania bara na mitatu ya visiwani Zanzibar.   Akiwa Mkoani Morogoro Lowassa amepata wanaccm 104,038...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msamibaby Yala yala

FOLLOW INSTAGRAM@sosteneslekule [via LEKULE] Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

The Rock ameweka wazi sababu za yeye kuacha mchezo wa mieleka…

Dwayne  Johnson  maarufu kama  The Rock  ni mwigizaji, movie producer na mchezaji mieleka kutoka  Marekani  aliejitengenezea jina kubwa kwenye mieleka na kufanya apate shavu kubwa kwenye movie za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge Aiomba Serikali Ipige Marufuku Pombe za Kienyeji na Za Viwandani ( Bia)

MBUNGE wa Mji Mkongwe, Ibrahim Sanya (CUF), ameitaka Serikali kupiga marufuku unywaji wa pombe kwa kuwa ni kichocheo cha maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU). Akiuliza swali bungeni jana, Sanya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanafunzi 18,751 wakosa nafasi kidato cha tano

Dar es Salaam . Wanafunzi 18,751 waliofaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka 2014, wamekosa nafasi ya kujiunga na shule za kidato cha tano kwa sababu mbalimbali ikiwamo ufinyu wa nafasi. Kati ya hao,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

50 Cents awadiss Diddy, Waandaaji wa BET pamoja na kituo cha TV cha Fox

Kumbe sio tu wasanii wa bara la Afrika waliochukizwa na uandaaji na uendeshaji mzima wa shughuli za tuzo za BET, zilizofanyika jumapili ya june 28 mwaka huu kwamba hawakuwafanyia haki wanamuzi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi Yanasa Mtambo Wa Kutengeneza Bunduki

POLISI mkoani Rukwa imewakamata watuhumiwa 19 na silaha za aina mbalimbali zikiwemo bunduki 30, risasi 231 pamoja na mtambo wa kutengeneza bunduki za kienyeji.   Katika msako uliofanywa na Polisi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA Yaibwaga CCM Mahakamani……..Matokeo ya Uchaguzi Wenyeviti 16 Yatenguliwa

Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara imezidi kupata pigo baada ya Mahakama kutengua matokeo ya uchaguzi wa wenyeviti wa vitongoji 16 vya mji mdogo wa Mirerani, kwa maelezo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ghana yazindua gari lake

Wakati unapoangazia swala la utengezaji magari mataifa ya Afrika kwa kawaida hayaorodheshwi katika swala hilo. Lakini hilo sasa huenda likabadilika kufuatia kuwasili kwa kampuni ya magari ya Ghana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kahaba kwa miaka 25

 Brenda Myers-Powell alikua mtoto wakati alipoanza kufanya ukahaba katika miaka ya sabini. Alizaliwa eneo la Chicago, Marekani na mamake mzazi alifariki dunia akiwa na miezi sita pakee. Hapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mzee Majuto Adai Kushobokewa na Vibinti

 Staa mkongwe kunako filamu Bongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ amefungukia shutuma anazopewa na mashabiki wake kwa kupenda kuonekana na ‘vibinti’ kuwa wanamshobokea mwenyewe. Mzee Majuto ambaye kifani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Afande Sele aeleza atakavyokuwa tofauti na wasanii wengine walioingia bungeni

Afande Sele amesema akiingia bungeni hawezi kuwasahau wasanii wenzake kama walivyosahauliwa na wasanii wabunge waliotangulia kuingia mjengoni. Rapper huyo  atawania kiti cha ubunge wa jimbo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Amuua Mwenzake Kwa Kisu Wakigombea Mwanamke

WATU watatu wamekufa katika matukio matatu tofauti katika Wilaya za Tarime na Rorya akiwemo mtu aliyeuawa wakati wanagombania mwanamke.   Waliokufa ni Chacha Mwita (24) aliyechomwa kisu kifuani na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Atiwa Mbaroni Akituhumiwa Kumuua Baba Yake kwa Shoka

MKAZI wa kijiji cha Igongwa wilayani Maswa mkoani Simiyu, Majingwa Ndushi (32) amekamatwa na jeshi la Polisi baada ya kutoroka akikwepa kufikishwa mahakamani kwa tuhuma ya kumuua baba yake mzazi,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

.Ukawa: NEC inatuvurugia mipango majimboni

Dar es salaam. Mwenyekiti mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), ameishukia Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kushindwa kutangaza mgawanyo wa majimbo, akisema kuchelewa huko kunavuruga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nyumba ya mwandishi wa Nyerere yauzwa kinyemela

Dar es Salaam. Nyumba ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa Mwalimu Julius Nyerere, Paul Sozigwa imeuzwa katika mazingira ya kutatanisha na mke wake Monica Kuga baada ya mwanahabari huyo kupata maradhi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto aanika majina mabilioni ya Uswisi

Dar es Salaam. Kiongozi mkuu wa chama chama cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe jana alianika orodha ya majina ya watu wanaotuhumiwa kuhodhi akaunti zenye mabilioni ya fedha nje ya nchi, lakini akasita...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr Shein Apitishwa Kuwa Mgombea Urais wa Zanzibar Kupitia CCM.

Kamati kuu maalum ya chama cha mapinduzi Zanzibar kwa kauli moja imempitisha Dr Ali Mohamed Shein kuwa mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha mapinduzi. Hatua hiyo imefikiwa baada ya wajumbe wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Soko la hisa China kuwatisha Wawekezaji

Licha ya hatua ya serikari kuyachepua masoko ya fedha katika siku za hivi karibuni, hali ya wasiwasi imezuka kwa wawekezaji nchini China kutokana na kushuka kwa hisa kwa masoko ya fedha nchini humo....

View Article
Browsing all 312 articles
Browse latest View live